Baadhi ya waumini waliohudhuria siku hiyo |
Mzee Othman Haule akikaribisha wageni na wenyeji katika siku hiyo maalum |
NAZARETH SDA CHOIR |
KINONDONI YOUTH SDA CHOIR |
Mpiga Kinanda wa kwaya ya kanisa ya Kinondoni SDA (aliyevaa suti nyeusi) |
Nazareti SDA Choir wakitoa huduma ya nyimbo |
GETHSEMANE GROUP |
VIJANA-KINONDONI |
ACACIA |
Kwaya ya Vijana-Kinondoni SDA ikitoa huduma ya nyimbo |
Kikundi cha ACACIA kikitoa huduma ya nyimbo katika siku hiyo maalum |
Baadhi ya waimbaji wa zamani wa kwaya ya Kinondoni SDA wakiimba pamoja na waimbaji wa sasa |
Kikundi cha Gethsemane kikitoa huduma ya nyimbo katika siku hiyo maalum |
Mwalimu Gideon Kasozi akiimba pamoja na wanakwaya wimbo wa Atete wa lugha ya kipare |
Mwalimu Gideon Kasozi, moja ya waalimu wa kwanza kabisa wa kwaya ya Kinondoni SDA akitoa ushuhuda wake tangu alipoanza kuifundisha kwaya hiyo. |
I give praise to Mr Benjamin enough for his help in securing a loan to buy our new home for our family. Benjamin was a wealth of information and he helped educate me and my family as to why a home loan was the best option for our particular situation. After conferring with Benjamin and our financial advisor everyone agreed that a home loan was the perfect solution.You can contact Mr Benjamin if you also looking for any kind of loan on Email/Whatsapp: 247officedept@gmail.com Whatsapp: +1-989-394-3740
ReplyDelete